iqna

IQNA

uturuki
Jinai za Israel
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kukatwa uhusiano wa kiuchumi na kisiasa wa nchi za Waislamu na utawala wa Kizayuni ndiyo silaha bora ya kukomesha jinai za Wazayuni huko Palestina.
Habari ID: 3478670    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/11

Matukio ya Palestina
Chuo kikuu jumuishi cha kimataifa cha mafundisho ya Kiislamu kimepangwa kuanzishwa mjini Istanbul, Uturuki.
Habari ID: 3477119    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/08

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki imemwita balozi wa Denmark nchini humo ili kutoa malalamiko yake ya kupinga kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika nchi hiyo ya Ulaya.
Habari ID: 3476795    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/01

Zilzala Uturuki na Syria
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) amefanya ziara rasmi nchini Uturuki kufuatia matetemeko makubwa ya ardhi yaliyoikumba nchi hiyo zaidi ya wiki mbili zilizopita.
Habari ID: 3476606    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/22

TEHRAN (IQNA) – Takriban nakala 15,000 za Kurani Tukufu zimetumwa katika maeneo yaliyokumbwa na mitetemeko mikubwa ya ardhi nchini Uturuki ya tarehe 6 Februari.
Habari ID: 3476592    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/20

Zilzala Syria na Uturuki
TEHRAN (IQNA)- Idara ya Mfawidhi wa Haram ya Imam Hussein AS imetuma timu ya madaktari kaskazini mwa Syria kwa ajili ya kutoa misaada kwa wale walioathiriwa na mItetemeko mkubwa ardhi.
Habari ID: 3476580    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/18

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Takriban misikiti miwili mjini London imepokea barua za chuki dhidi ya Uislamu kufuatia mitetemeko mikubwa ya ardhi nchini Uturuki na Syria ambayo imesababisha vifo vya makumi ya maelfu ya watu.
Habari ID: 3476576    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/17

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amekosoa mienendo ya nchi za Magharibi kuhusiana na tetemeko la ardhi nchini Syria.
Habari ID: 3476573    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/17

Zilzala Uturuki na Syria
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Umoja wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) ametoa wito kwa Waislamu walionuia kutekeleza safari ya ibada ya Hija ndogo ya Umrah kusitisha safari hiyo kwa sasa na badala yake kutumia fedha hizo kuwasaidia wahanga wa mitetemeko (zilzala) ya ardhi Uturuki na Syria.
Habari ID: 3476559    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/14

Zilzala Syria na Uturuki
TEHRAN (IQNA)-Matumaini ya kupata manusura zaidi chini ya vifusi vya nyumba zilizobomolewa mitetemeko miwili mikubwa ya ardhi Jumatatu iliyopita katika nchi za Syria na Uturuki yanazidi kupungua siku 5 baada ya maafa hayo ambapo idadi ya walipoteza maisha hadi sasa ikifika 25,000 huku Umoja wa Mataifa ukitabiri kuwa yamkini idadi hiyo ikaongezeka maradufu.
Habari ID: 3476547    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/11

Mitetemeko Uturuki na Syria
TEHRAN (IQNA) – Watu katika nchi za Balkan Magharibi za Kosovo na Macedonia Kaskazini wamejipanga kusaidia Uturuki baada ya mitetemeko ya ardhi yenye ukubwa wa 7.7 na 7.6. kupelekea karibu watu elfu 20 kupoteza maisha hadi sasa huku idadi kubwa yanyumba zikiwa zimeharibiwa Uturuki na Syria.
Habari ID: 3476539    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/09

Rais Assad wa Syria
TEHRAN (IQNA)- Rais Bashar al-Assad wa Syria amefichua kuwa Marekani inatoa mashinikizo kwa nchi zinazotaka kuwasaidia waathirika wa mitetemeko ya ardhi nchini Syria. Assad ameyasema hayo katika mkutano na ujumbe wa mawaziri kadhaa wa Lebanon.
Habari ID: 3476535    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/09

Zilzala Syria na Uturuki
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ametangaza hali ya dharura katika mikoa 10 iliyotikiswa na mitetemeko miwili ya ardhi ambayo imepelekea zaidi ya watu 5,100 kupoteza maisha nchini Uturuki na Syria.
Habari ID: 3476524    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/07

Taazia
TEHRAN(IQNA)- Watu wasiopungua 2,500 wamepoteza maisha kutokana na mitetemeko miwili mkubwa ya ardhi iliyoyakumba maeneo ya kusini mashariki mwa Uturuki na kaskazini mwa Syria huku idadi ya wahanga wa janga hilo ikiongezeka kila sekunde kutokana na mamia ya watu kufunikwa na vifusi vya majengo yaliyoporomoka.
Habari ID: 3476519    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/06

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Sherehe ilifanyika katika Mkoa wa Tokat, kaskazini mwa Uturuki, kwa ajili ya kuwapongeza wanafunzi 258 ambao wameweza kuhifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu.
Habari ID: 3476478    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/28

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Taasisi ya kutoa misaada ya Uturuki ilitoa zaidi ya nakala 11,000 za Misahafu (Qur'ani Tukufu) kwa Waislamu katika nchi tofauti za Kiafrika mwaka jana.
Habari ID: 3476451    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/23

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Kufuatia kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini Uswidi (Sweden) kikundi cha vijana kusini mashariki mwa Uturuki kilisambaza maua ya waridi makanisani.
Habari ID: 3476449    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/23

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Hafla ilifanyika Erzurum, mashariki mwa Uturuki, kupongeza mafanikio ya watu wengi ambao wameweza kuhifadhi au kujifunza Qur'ani Tukufu kwa moyo.
Habari ID: 3476403    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/14

Historia
TEHRAN (IQNA) – Watafiti wanafanya kazi ya uchimbaji katika eneo nchini Uturuki ambapo mabaki ya safina ya Nuhu yanaaminika kuwepo.
Habari ID: 3476215    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/08

Ulimwengu wa Kiislamu na Uchumi
TEHRAN (IQNA) – Nchi za Kiislamu, ambazo zinategemea mfumo wa kiuchumi wa nchi za Magharibi zimetakiwa kupanua biashara kati yao wenyewe.
Habari ID: 3476006    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/29