Habari Maalumu
Muqawama
IQNA – Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran amesema kuwa utawala wa Kizayuni umelazimika kusitisha mapigano na Harakati ya Kiislamu ya Ukombozi wa Palestina,...
18 Jan 2025, 22:37
Fasihi
IQNA – Mohammad Anani alikuwa profesa wa tarjama au tafsiri na fasihi ya Kiingereza katika Chuo Kikuu cha Cairo na mmoja wa watafsiri au watarjumi mashuhuri...
18 Jan 2025, 22:26
Tafsiri
IQNA – Mwanadiplomasia wa Iran ametoa wito wa kutarjumiwa Tafsiri ya Tasnim, kazi kubwa ya tafsiri ya Qur’ani, katika lugha mbalimbali ili kufanya maarifa...
18 Jan 2025, 13:04
Umrah
IQNA – Al Masjid An Nabawi au Msikiti wa Mtume huko Madina ulipokea waumini 5,475,443 wiki iliyopita wakati ripoti inaonyesha zaidi ya waumini milioni...
17 Jan 2025, 23:12
Turathi
IQNA – Urekebishaji wa kurasa za nakala adimu ya Msahafu (Qur'ani) wa karne ya 10 Miladia umeanza huko Karbala, Iraq. Haya ni kwa mujibu wa Latif Abdulzahra,...
17 Jan 2025, 22:42
IQNA – Kufuatia moto mbaya huko Los Angeles, California nchini Marekani ambao umeuteketeza Msikiti wa At-Taqwa, jamii ya Waislamu imekusanya zaidi ya dola...
17 Jan 2025, 23:25
Jinai za Israel
IQNA-Idara ya Ulinzi wa Raia ya Gaza imetangaza leo Ijumaa kuwa Wapalestina wasiopungua 101, wakiwemo watoto 27 na wanawake 31, wameuawa shahidi katika...
17 Jan 2025, 22:51
Kadhia ya Palestina
IQNA-Baada ya kutangazwa makubaliano ya usitishaji vita huko Gaza, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ametuma ujumbe kwenye...
16 Jan 2025, 16:38
Kadhia ya Palestina
IQNA-Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imesema kuwa, kulazimika utawala wa Kizayuni kukubali kusimamisha vita na kukomesha mauaji yake...
16 Jan 2025, 16:44
Muqawama
IQNA- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu Palestina (Hamas) imeidhinisha pendekezo la kusimamisha mapigano kwa Ukanda wa Gaza ambayo yamefikiwa kwa upatanishi...
15 Jan 2025, 23:38
Ali katika Qur'ani/2
IQNA – Wafasiri wengi wanaamini kuwa aya ya 207 ya Surah Al-Baqarah katika Qur'ani Tukufu inamhusu Imam Ali (AS) kwa kitendo chake cha kujitoa muhanga...
15 Jan 2025, 17:14
Qarii maarufu
IQNA-Sheikh Muhammad Hussein al-Faqih ni hafidh na qari wa Qur'ani kutoka Yemen ambaye ameanza kujipatia umaarufu kwenye mitandao ya kijamii kutokana na...
15 Jan 2025, 18:41
IQNA – Afisa mmoja wa Iran amesema kuwa mjumuiko na matembezi ya Arbaeen, yanayofanyika kila mwaka huko Karbala, yanatoa ujumbe wa mwangaza na ni “jibu...
15 Jan 2025, 17:29
IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kitawasilisha machapisho yake mapya katika toleo la 56 la Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Cairo.
15 Jan 2025, 18:52
Ahlul Bayt AS
TEHRAN (IQNA)- Tarehe 13 Rajab mwaka wa 30 Amul Fil, kulitokea tukio kubwa na la kushangaza ambalo lilikuwa halijawahi kutokea na halitatokea tena katika...
14 Jan 2025, 13:18
IQNA--Leo tarehe 13 mwezi Rajab, ni siku ya kukumbuka kuzaliwa Amirul Muuminin, Imam Ali bin Abi Twalib (AS) ambapo katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran...
14 Jan 2025, 13:40