IQNA

Washiriki wa Mashindano ya Qur’ani watembelea Misikiti na maeneo ya kihistoria Madina

IQNA – Washiriki wa Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Mfalme Abdulaziz wametembelea misikiti ya kihistoria na maeneo ya turathi katika mji wa...

Mwanamke wa Karnataka aandika nakala nzima ya Qur’ani Tukufu kwa mkono

IQNA – Fathima Sajla Ismail kutoka jimbo la Karnataka, India, amekamilisha kuandika Qur’ani Tukufu yote kwa mkono akitumia kalamu ya jadi ya kuzamisha...

Mkutano wa Qur’ani ya Nukta Nundu (Braille) Kashmir wajadili msaada kwa wenye ulemavu wa macho

IQNA – Jumapili, mji wa Banihal katika eneo la Kashmir linalosimamiwa na India uliandaa Mkutano wa Pili wa Qur’ani ya Braille kwa watu wenye ulemavu wa...

Gavana wa Misri asema marehemu Qari Shuaisha alikuwa balozi bora wa Qur’ani

IQNA – Gavana wa mkoa wa Kafr el-Sheikh nchini Misri amesema kuwa marehemu qari Sheikh Abulainain Shuaisha alikuwa balozi bora wa Qur’ani na ataendelea...
Habari Maalumu
Tathmini ya awali ya Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur’ani kwa wanafunzi yakamilika

Tathmini ya awali ya Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur’ani kwa wanafunzi yakamilika

IQNA – Mchujo wa awali wa usomaji kwa ajili ya Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur’ani kwa Wanafunzi Waislamu umekamilika, ambapo kazi kutoka nchi 36 zimepitiwa.
19 Aug 2025, 14:38
Misikiti duniani yahimizwa kuungana kulinda Al-Aqsa katika Siku ya  Kimataifa ya Msikiti

Misikiti duniani yahimizwa kuungana kulinda Al-Aqsa katika Siku ya Kimataifa ya Msikiti

IQNA – Mwanazuoni mmoja wa Kiirani amehimiza ushirikiano imara kati ya misikiti duniani, akisisitiza haja ya hatua za pamoja kulinda Msikiti wa Al-Aqsa...
18 Aug 2025, 23:19
Mtume Muhammad (SAW): Kielelezo kamili cha maadili na umoja asema mtafiti

Mtume Muhammad (SAW): Kielelezo kamili cha maadili na umoja asema mtafiti

IQNA – Mwanazuoni wa dini kutoka Qom amemwelezea Mtume Muhammad (SAW) kuwa ndiye kielelezo bora kabisa kwa wanadamu, akisisitiza kuwa tabia yake njema...
18 Aug 2025, 22:57
Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur'ani kwa Wanafunzi Waislamu: Awamu ya Awali ya Yaendelea

Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur'ani kwa Wanafunzi Waislamu: Awamu ya Awali ya Yaendelea

IQNA – Awamu ya awali ya kategoria ya usomaji katika Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur'ani kwa Wanafunzi Waislamuyaliyoandaliwa na Jamhuri ya Kiislamu...
18 Aug 2025, 22:46
Sherehe Katika Msikiti wa Faisal, Islamabad kuwaenzi  wahifadhi wa Qur’ani Tukufu

Sherehe Katika Msikiti wa Faisal, Islamabad kuwaenzi wahifadhi wa Qur’ani Tukufu

IQNA – Msikiti maarufu wa Faisal ulioko katika mji mkuu wa Pakistan, Islamabad, uliandaa sherehe ya kuwaenzi wahifadhi wa Qur’ani Tukufu.
18 Aug 2025, 22:30
Mtaalamu wa Syria: Lugha ya Kiarabu imeenea na kuimarika kutokana na Qur’ani Tukufu

Mtaalamu wa Syria: Lugha ya Kiarabu imeenea na kuimarika kutokana na Qur’ani Tukufu

IQNA – Muhammad Hussein al-Tayyan, mwandishi na mtaalamu wa lugha wa Syria, anaamini kwamba Qur’an ni kitovu cha lugha ya Kiarabu, na kupitia Qur’an ndiyo...
18 Aug 2025, 22:19
Mkuu wa ACECR: Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani kwa Wanafunzi Waislamu yadhihirisha umuhimu wa Diplomasi ya Qur’ani:

Mkuu wa ACECR: Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani kwa Wanafunzi Waislamu yadhihirisha umuhimu wa Diplomasi ya Qur’ani:

IQNA – Kiongozi wa Akademia ya Iran ya Elimu, Utamaduni na Utafiti (ACECR) amesema kwamba programu kama Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani kwa Wanafunzi...
17 Aug 2025, 08:31
Misri yaanzisha Mashindano ya Taifa ya Televisheni Kutafuta Maqari wenye  vipaji

Misri yaanzisha Mashindano ya Taifa ya Televisheni Kutafuta Maqari wenye vipaji

IQNA – Misri imetangaza mashindano makubwa zaidi ya taifa ya televisheni yenye lengo la kugundua vipaji vipya vya usomaji wa Qur’ani.
17 Aug 2025, 08:39
Jaribio la kigaidi la kuchoma moto Chumba cha Sala cha Waislamu mashariki mwa Ufaransa

Jaribio la kigaidi la kuchoma moto Chumba cha Sala cha Waislamu mashariki mwa Ufaransa

IQNA – Mamlaka za Ufaransa zimeanzisha uchunguzi kufuatia jaribio la kuchoma moto chumba cha kusalia cha Waislamu mjini Châtillon-sur-Seine, tukio ambalo...
16 Aug 2025, 16:56
Wamalaysia watumia  njia ya heshima ya kuweka mbali Misahafu iliyochakaa

Wamalaysia watumia njia ya heshima ya kuweka mbali Misahafu iliyochakaa

IQNA – Jimbo la Sarawak, Malaysia limeanzisha mbinu rafiki kwa mazingira katika kuheshimu na kuondosha nakala zilizochakaa za Misahafu au Qur’an Tukufu.
16 Aug 2025, 16:48
Zaidi ya Wafanyaziyara milioni 21 Washiriki matembezi ya Arbaeen Iraq

Zaidi ya Wafanyaziyara milioni 21 Washiriki matembezi ya Arbaeen Iraq

IQNA – Zaidi ya wafanyaziyara milioni 21 wameshiriki katika ziara ya Arbaeen mwaka huu nchini Iraq, kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na haram ya Abul-Fadhlil...
16 Aug 2025, 16:40
Jaji Muirani asifu Mashindano ya Kimataifa ya Qur’an ya Malaysia

Jaji Muirani asifu Mashindano ya Kimataifa ya Qur’an ya Malaysia

IQNA – Mtaalamu wa Qur’ani kutoka Iran, Gholam Reza Shahmiveh, amepongeza historia ndefu ya Malaysia katika kuandaa mashindano ya kimataifa ya Qur’ani,...
16 Aug 2025, 16:29
Turathi za Qur’ani za marehemu Qari Farajullah Shazli zahifadhiwa katika Idhaa ya Qur’an ya Misri

Turathi za Qur’ani za marehemu Qari Farajullah Shazli zahifadhiwa katika Idhaa ya Qur’an ya Misri

IQNA – Mkusanyiko wa turathi za kitamaduni na kazi binafsi za Qur’an za Marehemu Sheikh Farajullah Shazli, mmoja wa maqari mashuhuri wa Misri, umewasilishwa...
16 Aug 2025, 15:43
Fainali za Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu Makkah zakamilika

Fainali za Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu Makkah zakamilika

IQNA – Raundi ya mwisho ya Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Mfalme Abdulaziz ya Kuhifadhi, Kusoma, na Kufasiri Qur’ani Tukufu imemalizika Alhamisi katika...
15 Aug 2025, 21:04
Wizara ya Wakfu ya Morocco ina mpango ya kutoa mafunzo kwa maimamu 48,000

Wizara ya Wakfu ya Morocco ina mpango ya kutoa mafunzo kwa maimamu 48,000

IQNA – Wizara ya Wakfu na Mambo ya Kiislamu ya Morocco imetangaza mpango mkubwa wa miaka mitatu wa kuwapa mafunzo mapya maimamu 48,000 wa misikiti kote...
15 Aug 2025, 20:57
Uwezo wa Kiustaarabu wa Arbaeen Wazidi Kudhihirika Kila Siku

Uwezo wa Kiustaarabu wa Arbaeen Wazidi Kudhihirika Kila Siku

IQNA – Uwezo wa kiustaarabu na wa kujenga taifa ulio ndani ya matembezi n a ziyara yakila mwaka ya Arbaeen unazidi kudhihirika kadiri siku zinavyosonga,...
15 Aug 2025, 20:46
Picha‎ - Filamu‎