IQNA

Rais wa Iran atoa wito wa Umoja wa Kiislamu kukabiliana na mauaji ya Waislamu

IQNA – Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, ametoa wito kwa mataifa ya Kiislamu kuondoa migawanyiko ya ndani na kusimama kwa umoja, akisema kuwa mshikamano...

Ayatullah Makarem Shirazi: Ulimwengu wa Kiislamu unahitaji umoja zaidi ya wakati wowote ule

IQNA-Chanzo cha kuigwa kutoka Iran, Ayatullah Mkuu Nasser Makarem Shirazi, amesisitiza haja ya ulimwengu wa Kiislamu kurejea katika kanuni ya msingi ya...

Watangazaji wa Kipindi cha Mahfel washiriki maadhimisho ya Milad-un-Nabi Nchini Pakistan

IQNA – Wenyeji kadhaa wa kipindi maarufu cha Mahfel kutoka Iran walialikwa kushiriki katika maadhimisho makubwa na ya muhimu zaidi ya kila mwaka ya kukumbuka...

Qari wa Misri aibuka mshindi katika Mashindano ya Qur'ani ya Mataifa ya BRICS nchini Brazil

IQNA – Mwakilishi wa Misri ameibuka mshindi wa kwanza katika mashindano ya kimataifa ya usomaji wa Qur'ani ya mataifa ya BRICS yaliyofanyika nchini Brazil.
Habari Maalumu
Afisa wa Al-Azhar: Kusaidia Vituo vya Kuhifadhi Qur'ani ni wajibu wa kidini na kijamii

Afisa wa Al-Azhar: Kusaidia Vituo vya Kuhifadhi Qur'ani ni wajibu wa kidini na kijamii

IQNA – Naibu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri ameeleza kuwa kusaidia vituo vya kuhifadhi Qur'ani ni wajibu wa kidini na kijamii.
08 Sep 2025, 14:48
Tuzo ya Sira ya Mtume yazinduliwa Algeria kwa heshima ya Maulidi ya Mtume Muhammad (SAW)

Tuzo ya Sira ya Mtume yazinduliwa Algeria kwa heshima ya Maulidi ya Mtume Muhammad (SAW)

IQNA-Wizara ya Mambo ya Dini na Wakfu nchini Algeria imetangaza kuanzishwa kwa mashindano ya kimataifa kuhusu Sira au mfumo wa maisha ya Mtume Muhammad...
07 Sep 2025, 15:22
Mpango wa kubadilisha nakala za zilizochakaa za Qur'ani kwa mpya bila malipo nchini Malaysia

Mpango wa kubadilisha nakala za zilizochakaa za Qur'ani kwa mpya bila malipo nchini Malaysia

IQNA- Waislamu wa jimbo la Kedah nchini Malaysia wamepata fursa adhimu ya kubadilisha nakala zao za Qur'anI zilizochakaa au kuharibika kwa nakala mpya...
07 Sep 2025, 15:13
Ujumbe wa Kimataifa wa Mtume Muhammad (SAW) Kujadiliwa Katika Mjadala wa Kimataifa Septemba 9

Ujumbe wa Kimataifa wa Mtume Muhammad (SAW) Kujadiliwa Katika Mjadala wa Kimataifa Septemba 9

IQNA-Imetangazwa kuwa Jumanne hii, tarehe 9 Septemba 2025, kutafanyika mjadala wa kimataifa kwa njia ya mtandao kwa jina “Karne 15 za Kumfuata Mjumbe wa...
07 Sep 2025, 15:05
Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Yamalizika Samarra, Iraq

Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Yamalizika Samarra, Iraq

IQNA-Mashindano ya 15 ya kitaifa ya kuhifadhi na kusoma Qur'anI kwa “Wachamungu wa Qur'an wa Iraq” yamehitimishwa kwa heshima kubwa katika Msikiti Mtukufu...
07 Sep 2025, 14:45
Mwezi Mwekundu kuonekana duniani, Waislamu wataswali swala maalumu

Mwezi Mwekundu kuonekana duniani, Waislamu wataswali swala maalumu

IQNA – Usiku wa tarehe 7 hadi 8 Septemba 2025, tukio nadra la kupatwa kwa mwezi kwa jumla, linalojulikana kama Mwezi Mwekundu, litaonekana katika maeneo...
07 Sep 2025, 14:39
Shahriari: Heshima ya Binadamu, Haki, na Usalama ni Nguzo Tatu za Umoja wa Kiislamu

Shahriari: Heshima ya Binadamu, Haki, na Usalama ni Nguzo Tatu za Umoja wa Kiislamu

IQNA – Akizungumzia heshima ya binadamu, haki, na usalama kama nguzo kuu tatu za umoja wa Kiislamu, mwanazuoni mwandamizi wa Kiirani amesema kuwa Palestina...
06 Sep 2025, 11:04
Mashambulizi dhidi ya Msikiti wa Greater Manchester yazua hofu miongoni mwa Waislamu

Mashambulizi dhidi ya Msikiti wa Greater Manchester yazua hofu miongoni mwa Waislamu

IQNA – Mashambulizi mawili ya hivi karibuni dhidi ya msikiti mmoja huko Greater Manchester nchini Uingereza yamewaacha waumini wakihisi kutokuwa salama,...
06 Sep 2025, 10:29
Viongozi wa Kiislamu katika BRICS wasisitiza kuhifadhi na kukuza maadili ya familia

Viongozi wa Kiislamu katika BRICS wasisitiza kuhifadhi na kukuza maadili ya familia

IQNA – Viongozi wa Kiislamu kutoka nchi wanachama wa BRICS wametoa tamko la pamoja wakisisitiza kuwa, kutokana na hali ya sasa ya dunia, jukumu kuu na...
05 Sep 2025, 18:47
Mtaalamu Maalum wa UN: Mahusiano yote na Israel yakatwe kabisa

Mtaalamu Maalum wa UN: Mahusiano yote na Israel yakatwe kabisa

IQNA – Akielezea unyama unaoendelea kufanywa na utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina, Mtaalamu Maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu maeneo ya Palestina...
05 Sep 2025, 18:40
Syria Yazindua ‘Mushaf al-Sham’ Katika Maonesho ya Kimataifa ya Damascus

Syria Yazindua ‘Mushaf al-Sham’ Katika Maonesho ya Kimataifa ya Damascus

IQNA – Nakala maalum ya Qur’ani ya Kitaifa ya Syria, inayojulikana kama Mushaf al-Sham, imeonyeshwa rasmi katika banda la Wizara ya Wakfu wakati wa Maonesho...
05 Sep 2025, 18:30
Msomi aangazia suluhisho za Mapinduzi ya Kiislamu kwa migogoro ya kisasa 

Msomi aangazia suluhisho za Mapinduzi ya Kiislamu kwa migogoro ya kisasa 

IQNA – Mwanazuoni mwandamizi kutoka Iran amesema kuwa kulinganisha mtazamo wa Tauhidi wa Mapinduzi ya Kiislamu na mtazamo wa kisekula wa Magharibi kunasaidia...
05 Sep 2025, 18:22
Mwanazuoni: Qur'ani Inafaa kwa zama zote

Mwanazuoni: Qur'ani Inafaa kwa zama zote

IQNA – Mwanazuoni wa Kiirani, Mohammad-Taqi Fayyazbakhsh, amesema kuwa Qur'ani Tukufu inaendelea kuwa ya kisasa na yenye mwongozo kwa kila zama na kila...
05 Sep 2025, 17:58
Kiongozi wa Ansarullah: Watu wa Yemen wameinua bendera ya Jihadi dhidi ya mabeberu wa zama

Kiongozi wa Ansarullah: Watu wa Yemen wameinua bendera ya Jihadi dhidi ya mabeberu wa zama

IQNA-Kiongozi wa harakati ya Ansarullah, Sayyid Abdulmalik Badruddin al-Houthi, amesisitiza kuwa watu wa Yemen wanaendelea kufuata mwenendo wa Mtume Muhammad...
04 Sep 2025, 22:13
Kuzindua dunia kuhusu Masaibu ya Wapalestina ni miongoni mwa malengo ya Wiki ya Umoja wa Kiislamu
Ayatullah Mohammad Hassan Akhtari

Kuzindua dunia kuhusu Masaibu ya Wapalestina ni miongoni mwa malengo ya Wiki ya Umoja wa Kiislamu

IQNA – Miongoni mwa malengo makuu ya shughuli na mikakati ya Wiki ya Umoja wa Kiislamu mwaka huu ni kuvuta hisia za dunia kuhusu dhulma na masaibu yanayowakumba...
04 Sep 2025, 17:58
Maqari wakongwe wa Qur’ani kutoka Nchi za ASEAN waenziwa huko Kuala Lumpur

Maqari wakongwe wa Qur’ani kutoka Nchi za ASEAN waenziwa huko Kuala Lumpur

IQNA – Maqari wakongwe wa Qur’ani kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Mataifa ya Kusini Mashariki mwa Asia (ASEAN) wamepongezwa kwa mafanikio yao katika...
03 Sep 2025, 17:47
Picha‎ - Filamu‎