IQNA

Kiongozi wa Mapinduzi: Vita ya Siku 12 vilionesha uwezo wa Iran

IQNA – Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatعllah Sayyid Ali Khamenei, amesema kuwa vita vya siku 12 vilivyoanzishwa na utawala wa Kizayuni dhidi ya...

Wanawake wa Kiislamu wabeba mzigo wa chuki dhidi ya Uislamu nchini Australia

IQNA-Australia imeingia katika kipindi kigumu cha chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia), hali iliyoibuka kwa kasi tangu kuanza kwa vita vya kikatili vya...

Shule za Kuhifadhi Qur’ani kutoa mafunzo kwa wahifadhi Milioni 10 wa Qur’ani Iran

IQNA – Afisa mmoja kutoka Wizara ya Elimu ya Iran amesema kuwa shule 1,200 za kuhifadhi Qur’ani zinapangwa kuzinduliwa nchini ili kusaidia mpango wa kuwafundisha...

CAIR: Kuua watu katika nyumba ya ibada ni uovu wa hali ya juu

IQNA – Kundi moja la kutetea haki za binadamu nchini Marekani limelaani shambulio la kikatili lililotokea hivi karibuni dhidi ya kanisa Katoliki nchini...
Habari Maalumu
Mufti wa Al-Quds azuiwa kuingia Msikiti wa Al-Aqsa baada ya hotuba kuhusu njaa Gaza

Mufti wa Al-Quds azuiwa kuingia Msikiti wa Al-Aqsa baada ya hotuba kuhusu njaa Gaza

IQNA-Sheikh Muhammad Ahmad Hussein, Mufti Mkuu wa Al-Quds, amepigwa marufuku na utawala dhalimu wa Israel kuingia Msikiti wa Al-Aqsa ulio mjini Quds (Jerusalem)...
28 Jul 2025, 17:58
Waombolezaji wa Bani Amer waingia Karbala kabla ya Arbaeen

Waombolezaji wa Bani Amer waingia Karbala kabla ya Arbaeen

IQNA-Kundi la maombolezo la Bani Amer, mojawapo ya makundi makubwa zaidi ya waombolezaji nchini Iraq, limeanza matembezi yake ya kiroho kutoka Basra kuelekea...
28 Jul 2025, 17:52
Tamati ya Kozi ya Kuhifadhi Qur’ani kwa Wanawake Katika Msikiti Mtukufu wa Masjid al-Haram, Makkah

Tamati ya Kozi ya Kuhifadhi Qur’ani kwa Wanawake Katika Msikiti Mtukufu wa Masjid al-Haram, Makkah

IQNA-Kozi ya kiangazi ya wanawake ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu katika Msikiti Mtukufu wa Masjid al-Haram, Makkah, imekamilika kwa mafanikio, ambapo washiriki...
28 Jul 2025, 17:47
Tamasha la Kwanza la Qur’ani Tukufu lafanyika Al Hoceima, Morocco

Tamasha la Kwanza la Qur’ani Tukufu lafanyika Al Hoceima, Morocco

IQNA-Mji wa Al Hoceima, ulioko kaskazini mwa Morocco, umeandaa tamasha lake la kwanza la Qur’ani Tukufu, likiwatambua washiriki mashuhuri wa mashindano...
28 Jul 2025, 17:42
Mji wa Qom kuwakaribisha wafanyaziyara  wa Arbaeen nusu Milioni kutoka nchi 32

Mji wa Qom kuwakaribisha wafanyaziyara wa Arbaeen nusu Milioni kutoka nchi 32

IQNA – Taasisi za kidini na kiraia katika mji mtukufu wa Qom, Iran, zinajiandaa kuwapokea zaidi ya wafanyaziyara 500,000 wa Arbaeen kutoka zaidi ya nchi...
28 Jul 2025, 17:36
Jeshi katili la Israel lateka meli ya msaada iliyokuwa ikielekea Gaza

Jeshi katili la Israel lateka meli ya msaada iliyokuwa ikielekea Gaza

IQNA-Jeshi la majini la utawala ghasibu wa Israel limeiteka meli ya misaada iliyokuwa ikielekea Ukanda wa Gaza, ikiwa na bendera ya Uingereza, katika harakati...
27 Jul 2025, 16:16
Masheikh wa Kishia na Kisunni wa Iraq waswali pamoja katika Haram ya Imam Hussein (AS) kuashiria Umoja wa Kiislamu

Masheikh wa Kishia na Kisunni wa Iraq waswali pamoja katika Haram ya Imam Hussein (AS) kuashiria Umoja wa Kiislamu

IQNA – Katika kuonyesha mshikamano wa Waislamu, masheikh wa Kisunni walijumuika Jumamosi jioni kwa swala ya jamaa pamoja na ndugu zao wa Kishia katika...
27 Jul 2025, 16:12
Kampeni ya Kimataifa ya Qur'ani ya “Fath”: Qari Muirani asoma aya za Sura Aal Imran

Kampeni ya Kimataifa ya Qur'ani ya “Fath”: Qari Muirani asoma aya za Sura Aal Imran

IQNA- Mahdi Ghorbanali, qari wa swala ya Ijumaa mjini Tehran, amejiunga na kampeni ya Qur’ani ya IQNA iitwayo “Fath” kwa kusoma aya ya 139 ya Surah Al-Imran.
27 Jul 2025, 15:59
Kongamano la kimataifa kuwaenzi Waislamu wenye mchango mkubwa, wakiwemo Nasrallah

Kongamano la kimataifa kuwaenzi Waislamu wenye mchango mkubwa, wakiwemo Nasrallah

IQNA – Viongozi wa kidini nchini Iran wametangaza kuanzishwa kwa kongamano la kimataifa litakalowatambua na kuwaheshimu wanazuoni watatu mashuhuri wa Kiislamu...
27 Jul 2025, 15:52
Kumbukumbu ya miaka 8 ya kifo cha Sheikh Tantawi, gwiji wa usomaji Qur'ani

Kumbukumbu ya miaka 8 ya kifo cha Sheikh Tantawi, gwiji wa usomaji Qur'ani

IQNA – Jumamosi, tarehe 26 Julai 2025, ulimwengu wa Kiislamu uliadhimisha kumbukumbu ya kifo cha Sheikh Muhammad Abdul Wahhab Al-Tantawi, gwiji wa usomaji...
27 Jul 2025, 15:40
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Maendeleo ya kijeshi na kielimu ya Iran yataharakishwa zaidi

Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Maendeleo ya kijeshi na kielimu ya Iran yataharakishwa zaidi

IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kwamba mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran yameshindwa kutimiza malengo waliyojiwekea,...
26 Jul 2025, 17:46
Ayatullah Sistani atoa wito kwa nchi za Kiarabu na Kiislamu zichukue hatua kukabiliana na njaa inayoshadidi Gaza

Ayatullah Sistani atoa wito kwa nchi za Kiarabu na Kiislamu zichukue hatua kukabiliana na njaa inayoshadidi Gaza

IQNA-Kiongozi mkuu Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq, Ayatullah Sayyid Ali al-Sistani, ameelezea masikitiko yake makubwa kuhusu hali ya kibinadamu...
26 Jul 2025, 17:37
Vikao vya Qur’ani Tukufu  Mwezi wa Muharram vyafanyika katika mkoa wa Babylon, Iraq

Vikao vya Qur’ani Tukufu Mwezi wa Muharram vyafanyika katika mkoa wa Babylon, Iraq

IQNA – Chuo cha Kisayansi cha Qur’ani kinachohudumu chini ya Utawala wa Haram ya Hadhrat Abbas (AS) kimeandaa mfululizo wa vikao vya Qur’ani Tukufu katika...
26 Jul 2025, 17:34
Ndoto ya Kusoma Qur’ani Tukufu yatimia kwa mzee mmoja wa Misri akiwa na umri wa Miaka 76

Ndoto ya Kusoma Qur’ani Tukufu yatimia kwa mzee mmoja wa Misri akiwa na umri wa Miaka 76

IQNA – Mwanamke mkongwe kutoka Aswan, Misri, aliyekuwa hajui kusoma wala kuandika kwa muda mrefu, hatimaye ameweza kutimiza ndoto yake ya kusoma Qur’ani...
26 Jul 2025, 17:30
Nakala za Qur'ani zasambaziwa abiria katika Uwanja wa Ndege wa Al-Aaroui nchini Morocco

Nakala za Qur'ani zasambaziwa abiria katika Uwanja wa Ndege wa Al-Aaroui nchini Morocco

IQNA – Kwa lengo la kueneza mafundisho ya Uislamu, maafisa wa serikali ya Morocco wamegawa nakala za Qur’ani Tukufu kwa Wamorocco wanaoishi nje ya nchi...
26 Jul 2025, 17:21
Misri yaanzisha mradi wa majaribio wa 'Chekechea Misikitini'

Misri yaanzisha mradi wa majaribio wa 'Chekechea Misikitini'

IQNA – Mamlaka za Misri zimezindua mradi wa majaribio wa kutumia maeneo ya misikiti kwa elimu ya awali ya watoto chini ya makubaliano mapya ya ushirikiano...
25 Jul 2025, 14:02
Picha‎ - Filamu‎