IQNA

Mohamed al‑Naqshbandi; Bingwa wa Ibtihal na nembo ya Mwezi wa Ramadhani Misri

IQNA – Siku ya Jumamosi, tarehe 14 Februari, iliadhimishwa kumbukumbu ya kifo cha qari na msomaji mashuhuri wa ibtihal wa Misri, marehemu Sheikh Sayyid...

Wahitimu wa Vikao vya Qur’ani nchini Yemen waenziwa

IQNA – Hafla maalumu ilifanyika nchini Yemen kuwaenzi wanafunzi 200 waliokamilisha masomo yao katika vikao vya Qur’ani vilivyoendeshwa misikitini katika...

Mashindano ya Tuzo ya Kimataifa ya Qur'ani ya Al‑Ameed yaendelea Iraq

IQNA – Majina ya washiriki waliofanikiwa kufuzu katika kipengele cha vijana (chini ya umri wa miaka 16) katika toleo la tatu la Mashindano ya Tuzo ya Kimataifa...

Al‑Saif awa Mshia wa kwanza kuteuliwa kuwa waziri katika Baraza la Mawaziri la Saudia

IQNA – Mfalme Salman bin Abdulaziz wa Saudi Arabia amemteua kiongozi mmoja kutoka jamii ya Waislamu wa madhehebu ya Shia kuwa Waziri wa Uwekezaji wa nchi...
Habari Maalumu
Dubai yatangaza Washindi wa “Muadhin Al Freej” watakaoadhini Misikitini Mwezi wa Ramadhani

Dubai yatangaza Washindi wa “Muadhin Al Freej” watakaoadhini Misikitini Mwezi wa Ramadhani

IQNA – Mwezi huu mtukufu wa Ramadhani, sauti za kiroho zitakazosikika katika vitongoji vya Dubai nchini UAE zitatoka kwa kizazi kipya chenye matumaini...
15 Feb 2026, 14:41
Mkutano wa Kimataifa wasisitiza nafasi ya Wanazuoni wa Hawza ya Najaf

Mkutano wa Kimataifa wasisitiza nafasi ya Wanazuoni wa Hawza ya Najaf

IQNA – Mkutano wa kwanza wa kimataifa wa kisayansi wa kuadhimisha milenia (miaka 1000) ya *Hawza ya Najaf umetangaza mapendekezo yake, ukisisitiza haja...
14 Feb 2026, 07:58
Kukuza haiba ya Kiislamu kwa mujibu wa Qur’ani kupewe kipaumbele

Kukuza haiba ya Kiislamu kwa mujibu wa Qur’ani kupewe kipaumbele

IQNA – Mutawalli wa Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) amesisitiza kuwa kulea na kukuza haiba au shakhsia ya Kiislamu kwa mujibu wa Qur’ani Tukufu ni msingi...
14 Feb 2026, 08:10
Maonesho ya Ramadhani yafanyika Benin

Maonesho ya Ramadhani yafanyika Benin

IQNA-Maonesho ya Ramadhani yajulikanayo kama “FIRam 2026” yamefanyika siku ya Jumamosi katika Uwanja wa Michezo wa Midombo, mjini Cotonou , mji mkuu wa...
14 Feb 2026, 07:45
Kiongozi wa Yemen: Marekani na Israel zinahasimiana na Iran kwa sababu inazuia njama zao

Kiongozi wa Yemen: Marekani na Israel zinahasimiana na Iran kwa sababu inazuia njama zao

IQNA-Kiongozi wa harakati ya Muqawama (mapambano ya Kiislamu) ya Ansarullah nchini Yemen amesema kuwa Marekani na Utawala wa Israel zinakabiliana na Iran...
14 Feb 2026, 06:38
Uturuki, Singapore na Oman zatangaza Alhamisi, 19 Februari, kuwa siku ya kuanza Ramadhani.

Uturuki, Singapore na Oman zatangaza Alhamisi, 19 Februari, kuwa siku ya kuanza Ramadhani.

IQNA-Nchi tatu za Uturuki, Singapore na Oman zimetangaza rasmi kuwa siku ya Alhamisi, tarehe 19 Februari, ndiyo siku ya kwanza ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
13 Feb 2026, 14:56
Muujiza wa mahudhurio ya tarehe 11 Februari ulikuwa taswira iliyo wazi ya Iran yenye nguvu

Muujiza wa mahudhurio ya tarehe 11 Februari ulikuwa taswira iliyo wazi ya Iran yenye nguvu

IQNA-Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran amesisitiza kuwa maadui, kupitia vitisho vya moja kwa moja vya kijeshi na maonyesho ya nguvu za manowari zao...
13 Feb 2026, 14:49
Ilhan Omar: Kwa kunishambulia, Trump anajaribu kugeuza macho ya umma kutoka kwenye kashfa ya Epstein

Ilhan Omar: Kwa kunishambulia, Trump anajaribu kugeuza macho ya umma kutoka kwenye kashfa ya Epstein

IQNA-Ilhan Omar mwakilishi Mwislamu wa Bunge la Marekani, akijibu tuhuma za Donald Trump dhidi yake, alimtaja Trump kama mnyanyasaji kingono wa watoto,...
13 Feb 2026, 11:23
Imam Khamenei awashukuru wananchi wa Iran kwa kuwakatisha tamaa maadui

Imam Khamenei awashukuru wananchi wa Iran kwa kuwakatisha tamaa maadui

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amewasifu na kuwapongeza wananchi wa Iran kwa kujitokeza kwa wingi kote nchini...
13 Feb 2026, 11:36
Chuo cha Kiislamu cha Imam Baqir (AS) Chafunguliwa Nigeria

Chuo cha Kiislamu cha Imam Baqir (AS) Chafunguliwa Nigeria

IQNA – Chuo cha elimu ya Kiislamu kwa jina la Chuo cha Imam Muhammad Baqir (AS) kimefunguliwa rasmi katika mji wa Qani, nchini Nigeria.
12 Feb 2026, 13:29
Shambulio kwenye Kituo cha Kuhifadhi Qur’ani Sudan limesababisha vifo vya watoto watatu

Shambulio kwenye Kituo cha Kuhifadhi Qur’ani Sudan limesababisha vifo vya watoto watatu

IQNA – Shambulio la ndege zisizo na rubani au droni lililolenga msikiti na kituo cha kuhifadhi Qur’ani katika jimbo la Kordofan Kaskazini nchini Sudan...
12 Feb 2026, 12:22
Mapinduzi ya Kiislamu: Mfano wa Kuunganisha Dini, Maisha na Maendeleo katika dunia ya leo

Mapinduzi ya Kiislamu: Mfano wa Kuunganisha Dini, Maisha na Maendeleo katika dunia ya leo

IQNA – Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yamegeuka kuwa mfano hai wa kuunganisha dini, maisha ya kijamii na maendeleo katika ulimwengu wa kisasa, amesema mchambuzi...
12 Feb 2026, 13:18
Kituo cha Qur’ani cha Wanawake Chafunguliwa Bahrain

Kituo cha Qur’ani cha Wanawake Chafunguliwa Bahrain

IQNA – Kituo cha Sheikha Hessa Bint Ali Al Khalifa cha Kuhifadhi Qur’ani Tukufu na Kufundisha Sayansi za Qur’ani kimefunguliwa rasmi kwa ajili ya wanawake...
12 Feb 2026, 13:09
Wasimamizi wa Maonyesho ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Tehran Watangazwa

Wasimamizi wa Maonyesho ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Tehran Watangazwa

IQNA – Wizara ya Utamaduni na Muongozo wa Kiislamu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza uteuzi wa wasimamizi wa sehemu mbalimbali na kamati za Maonyesho...
12 Feb 2026, 13:05
Iran haitapiga goti mbele ya madai ya kupindukia ya Marekani
Rais Pezeshkian katika hotuba ya maandamano ya tarehe 22 Bahman:

Iran haitapiga goti mbele ya madai ya kupindukia ya Marekani

IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, katika maadhimisho ya Siku ya Allah ya tarehe 22 Bahman (Februari 11), amesema kuwa Iran haitaki kumiliki silaha...
11 Feb 2026, 22:00
Wananchi wa Iran wajitokeza kwa mamilioni kuadhimisha ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

Wananchi wa Iran wajitokeza kwa mamilioni kuadhimisha ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

Mamilioni ya wananchi kutoka matabaka yote ya kijamii wamejitokeza mitaani kote nchini Iran kushiriki maandamano ya kitaifa yanayoashiria maadhimisho ya...
11 Feb 2026, 10:46
Picha‎ - Filamu‎