IQNA

Wayemen karibu milioni washiriki maandamano makubwa kulaani jinai za Israel na Marekani

Wayemen karibu milioni washiriki maandamano makubwa kulaani jinai za Israel na Marekani

IQNA-Maandamano ya watu karibu milioni moja yamefanyika huko Sanaa, mji mkuu wa Yemen, jana Ijumaa katika kutangaza mshikamano wao na Wapalestina huko Gaza na kulaani uchokozi wa jeshi la Israel huko Gaza na Yemen.
17:54 , 2025 Jul 19
Warsha ya kuhifadhi  Qur’ani yaanza Karbala, Iraq

Warsha ya kuhifadhi Qur’ani yaanza Karbala, Iraq

IQNA – Warsha ya tatu maalum ya mafunzo kuhusu mbinu mpya za kuhifadhi Qur’ani Tukufu imeanza katika Shule ya Zuhair Bin Al-Qain huko Karbala, Iraq.
17:48 , 2025 Jul 19
Nakala 15,000 za Qur’ani na vitabu vya Sala vyasambazwa katika kaburi la Hadhrat Abbas (AS) nchini Iraq

Nakala 15,000 za Qur’ani na vitabu vya Sala vyasambazwa katika kaburi la Hadhrat Abbas (AS) nchini Iraq

IQNA – Idara inayosimamia kaburi au Haram ya Hadhrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq imetangaza usambazaji wa takriban nakala 15,000 za Qur’ani Tukufu na vitabu vya sala kwa ajili ya matumizi ya mamilioni ya waumini wanaotembelea eneo hilo takatifu.
17:38 , 2025 Jul 19
Zaidi ya watu milioni 1.9 waliswali katika Al-Rawdah Al-Sharif ndani ya Al Masjid An Nabawi  wakati Hija

Zaidi ya watu milioni 1.9 waliswali katika Al-Rawdah Al-Sharif ndani ya Al Masjid An Nabawi wakati Hija

IQNA – Karibu watu milioni mbili waliswali katika Al-Rawdah Al-Sharif ndani ya Al Masjid An Nabawi (Msikiti wa Mtume) huko Madina wakati wa msimu wa Hija wa mwaka uliopita wa 1446 Hijria.
17:28 , 2025 Jul 19
Picha: Kikao cha Usomaji wa Qur'an Katika Haram ya Shah Cheragh, Shiraz

Picha: Kikao cha Usomaji wa Qur'an Katika Haram ya Shah Cheragh, Shiraz

IQNA – Haram tukufu ya Shah Cheragh (AS) iliyoko katika jiji la Shiraz, kusini mwa Iran, iliandaa kikao cha usomaji wa Qur'an Tukufu jioni ya Jumatatu, tarehe 14 Julai 2025.
18:57 , 2025 Jul 18
Arbaeen ni fursa ya kuonesha ustaarabu mpya wa Kiislamu

Arbaeen ni fursa ya kuonesha ustaarabu mpya wa Kiislamu

IQNA – Afisa mmoja wa masuala ya utamaduni kutoka Iran amesema kwamba matembezi makubwa ya kila mwaka ya Arbaeen ni fursa ya kipekee ya kuonesha ustaarabu mpya wa Kiislamu.
18:45 , 2025 Jul 18
Rambi rambi za Ayatullah Sistani kufuatia moto wa jumba la biashara Iraq ambapo wengi walipoteza maisha

Rambi rambi za Ayatullah Sistani kufuatia moto wa jumba la biashara Iraq ambapo wengi walipoteza maisha

IQNA – Ayatullah Mkuu Sayyid Ali al-Sistani, kiongozi wa juu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq, ametuma salamu za rambi rambi kwa familia za wahanga wa tukio la moto mkubwa uliotokea katika jumba la biashara mjini Kut.
18:39 , 2025 Jul 18
Afrika Kusini kuweka huduma za Hija chini ya mamlaka moja

Afrika Kusini kuweka huduma za Hija chini ya mamlaka moja

IQNA – Huduma za Hija kwa Waislamu wa Afrika Kusini sasa zitawekwa chini ya usimamizi wa Baraza la Hija na Umra la Afrika Kusini (SAHUC).
18:33 , 2025 Jul 18
Dokumentari yatayarishwa kutambulisha Misikiti muhimu ya Misri

Dokumentari yatayarishwa kutambulisha Misikiti muhimu ya Misri

IQNA – Wizara ya Wakfu (Awqaf) ya Misri imetangaza kutayarishwa kwa mfululizo wa dokumentari zitakazoangazia misikiti muhimu ya nchi hiyo.
18:24 , 2025 Jul 18
Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an Misri: Wizara ya Wakfu yatangaza tarehe ya mchujo

Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an Misri: Wizara ya Wakfu yatangaza tarehe ya mchujo

IQNA – Wizara ya Wakfu ya Misri imetangaza majina ya washiriki wa KiMisri waliokidhi masharti ya kushiriki katika mtihani maalum wa uteuzi, ili kuwachagua wawakilishi katika toleo la 32 la mashindano ya kimataifa ya Qur'an nchini humo, pamoja na tarehe ya mtihani huo.
18:16 , 2025 Jul 18
Dunia yalaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Syria

Dunia yalaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Syria

IQNA – Jamii ya kimataifa imeendelea kulaani mashambulizi ya anga na droni yaliyofanywa na Israel katika maeneo kadhaa nchini Syria.
22:07 , 2025 Jul 17
Shiriki Kampeni ya Kimataifa ya Qur'ani ya ijulikanayo kama “Fath”

Shiriki Kampeni ya Kimataifa ya Qur'ani ya ijulikanayo kama “Fath”

IQNA – Kampeni mpya ya kimataifa ya Qurani kwa jina “Fath” imezinduliwa kwa lengo la kuinua morali ya majeshi ya Kiislamu na kueneza maadili ya Qurani ndani ya jamii, hasa kufuatia mashambulizi ya hivi karibuni ya Israel dhidi ya Iran.
10:49 , 2025 Jul 17
Kiongozi: Israel iliomba msaada wa Marekani baada ya kupata pigo katika ulipizaji kisasi wa Iran

Kiongozi: Israel iliomba msaada wa Marekani baada ya kupata pigo katika ulipizaji kisasi wa Iran

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Israel ililazimika "kusalimu amri na kuing'ang'ani Marekani" kwa kukata tamaa, wakati wa vita vya hivi karibuni vya siku 12 dhidi ya Iran, na kuthibitisha kuwa haina na uwezo wa kukabiliana na Jamhuri ya Kiislamu bila msaada.
17:50 , 2025 Jul 16
Kitabu kipya chafafanua historia ya zana za kuandika Qur’ani

Kitabu kipya chafafanua historia ya zana za kuandika Qur’ani

IQNA – Taasisi ya Mfalme Abdulaziz nchini Saudi Arabia imechapisha kitabu kipya kwa lugha ya Kiarabu kinachofuatilia historia ya maendeleo ya zana zilizotumika kuandika Qur’ani Tukufu.
17:39 , 2025 Jul 16
Qari wa Palestina auawa shahidi katika shambulizi la anga la Israel Gaza

Qari wa Palestina auawa shahidi katika shambulizi la anga la Israel Gaza

IQNA – Msomaji wa Qur’ani wa Palestina na mwimbaji wa kaswida za Kiislamu amekufa shahidi katika shambulizi la hivi karibuni la anga lililofanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza.
17:33 , 2025 Jul 16
1