iqna

IQNA

isa
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu Bahrain amejiunga na maulamaa nchini humo katika kulaani kitendo cha kupeperushwa bendera ya mahusiano ya jinsia moja katika ubalozi wa mji mkuu wa nchi hiyo, Manama.
Habari ID: 3473985    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/07

Hivi Wakristo duniani wanaadhimisha siku ya kuzaliwa Nabii Isa AS. Mamia ya mamilioni ya Wakristo duniani katika makundi yao tofauti wanaadhimisha kuzaliwa Mtume huyo wa Mwenyezi Mungu, rehema za Allah ziwe juu yake na mama yake mtoharifu.
Habari ID: 2638287    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/27