TEHRAN (IQNA) – Qarii maarufu wa Qur’ani Tukufu nchini Misri ametuma ujumbe kwa Waislamu kote duniani kwa mnasaba wa kuanza Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473823 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/17
TEHRAN (IQNA) Hivi karibuni Televisheni ya Qur’ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilirusha hewani qiraa ya Qur’ani Tukufu ya Sheikh Abdul Fattah Taruti wa Misri.
Habari ID: 3473485 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/23
TEHRAN (IQNA) – Hivi karibuni qarii mashuhuri wa Misri Sheikh Abdul Fattah Taruti alishiriki katika kikao ambacho alisoma aya moja katika Sura al-Furqan ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3473431 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/07
TEHRAN (IQNA) – Qarii mashuhuri wa Qur’ani Tukufu nchini Misri Sheikh Abdul Fattah Taruti ameteuliwa kuwa mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kimataifa la Kuhifadhi Qur’ani.
Habari ID: 3473208 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/27
TEHRAN (IQNA) – Qarii mashuhuri wa Qur’ani nchini Misri, Sheikh Abdul Fattah Taruti amesoma Qur’ani Tukufu akiwa amevaa barakoa.
Habari ID: 3472906 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/28