IQNA

Washindi wa Mashindano ya Afrika ya Kuhifadhi Qur’ani na Hadithi Watunukiwa Johannesburg

Washindi wa Mashindano ya Afrika ya Kuhifadhi Qur’ani na Hadithi Watunukiwa Johannesburg

IQNA – Hatua ya mwisho ya Mashindano ya Mfalme Salman bin Abdulaziz ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu na Sunnah ya Mtume (SAW) barani Afrika imehitimishwa kwa hafla rasmi iliyofanyika mjini Johannesburg, Afrika Kusini.
18:08 , 2025 Sep 23
Msomi atoa wito wa kuundwa kwa Umoja wa Kiislamu kupinga ubeberu wa Magharibi

Msomi atoa wito wa kuundwa kwa Umoja wa Kiislamu kupinga ubeberu wa Magharibi

IQNA – Mwanasiasa na mchambuzi wa masuala ya kisiasa kutoka Iran ametoa wito kwa nchi zenye Waislamu wengi kuunda umoja wa kisiasa na kiuchumi ili kuimarisha msimamo wao wa pamoja dhidi ya miungano ya mataifa ya Magharibi kama vile NATO na Umoja wa Ulaya.
16:52 , 2025 Sep 22
Qur’ani ni Mwongozo wa Kibinafsi na Chanzo cha Utulivu wa Kina

Qur’ani ni Mwongozo wa Kibinafsi na Chanzo cha Utulivu wa Kina

IQNA – Kwa mwaname mmoja kutoka Iran ambaye ameweka juhudi kwa muda wa miongo miwili kuhifadhi Qur’ani Tukufu, kitabu hiki kitakatifu si tu maandiko ya kidini, bali ni mwongozo wa kibinafsi na chemchemi ya utulivu wa kina.
16:19 , 2025 Sep 22
Isfahan kuandaa hatua ya mwisho ya mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani kwa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Iran

Isfahan kuandaa hatua ya mwisho ya mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani kwa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Iran

IQNA – Hatua ya mwisho ya Mashindano ya 39 ya Kitaifa ya Qur’ani na Etrat kwa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu nchini Iran imepangwa kufanyika katika mji wa kati wa Isfahan.
15:39 , 2025 Sep 22
Waziri wa Wakfu wa Algeria asisitiza uchapishaji sahihi wa Qur’ani Tukufu

Waziri wa Wakfu wa Algeria asisitiza uchapishaji sahihi wa Qur’ani Tukufu

IQNA – Waziri wa Wakfu na Masuala ya Dini wa Algeria amesisitiza umuhimu wa umakini mkubwa katika uchapishaji wa Qur’ani Tukufu.
15:29 , 2025 Sep 22
Jamii ya Illinois Marekani yaadhimisha ‘Siku ya Wadee’ kumkumbuka mtoto wa Kipalestina aliyeuawa kwa Chuki

Jamii ya Illinois Marekani yaadhimisha ‘Siku ya Wadee’ kumkumbuka mtoto wa Kipalestina aliyeuawa kwa Chuki

IQNA – Wakazi wa Plainfield, jimbo la Illinois, walikusanyika Jumapili kuadhimisha siku maalum ya kumkumbuka Wadee Alfayoumi, mtoto wa miaka sita mwenye asili ya Kipalestina na Mmarekani aliyeuawa katika tukio la chuki takriban miaka miwili iliyopita.
15:25 , 2025 Sep 22
Qiraa |  Qari Alireza Rezaei akisoma aya za Qur'ani za Surah Az-Zumar

Qiraa | Qari Alireza Rezaei akisoma aya za Qur'ani za Surah Az-Zumar

Sauti ya usomaji wa aya za 61 hadi 70 kutoka Surah Az-Zumar, pamoja na aya za 1 hadi 7 kutoka Surah Al-A‘la, kwa sauti ya Alireza Rezaei, qari wa kimataifa wa Qur’ani Tukufu inawasilishwa hapa kwa wanaofuatilia tovuti ya IQNA. Qiraa hii ilirekodiwa katika katika mkusanyiko wa kiroho uliofanyika katika haram tukufu ya Imam Ridha (AS) katika mji wa Mashhad kaskazini mashariki mwa Iran.
15:52 , 2025 Sep 21
Mbunge wa Bunge la Marekani asema anajivunia Uislamu wake

Mbunge wa Bunge la Marekani asema anajivunia Uislamu wake

IQNA – Mjumbe wa chama cha Democratic katika Bunge la Marekani, Bi Ilhan Omar, amesisitiza utambulisho wake wa Kiislamu, akisema anajivunia kuwa Mwislamu.
15:40 , 2025 Sep 21
Qari: Kipindi cha Qur’ani cha Iran “Mahfel” chavuma kimataifa

Qari: Kipindi cha Qur’ani cha Iran “Mahfel” chavuma kimataifa

IQNA –Qari na Mtangazaji wa kipindi maarufu cha Qur’ani cha televisheni ya Iran, Mahfel, amesema kuwa kipindi hicho kimepata umaarufu mkubwa kimataifa, kikivutia watazamaji kutoka ulimwengu wa Kiislamu na hata katika maengine ya dunaini.
15:25 , 2025 Sep 21
Onyo la IRGC: Iran itajibu vikali uchokozi wowote mpya wa maadui

Onyo la IRGC: Iran itajibu vikali uchokozi wowote mpya wa maadui

IQNA- Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limewaonya maadui wa Iran hususan utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani kwamba, watakabiliwa na majibu makali na madhubuti ya Jamhuri ya Kiislamu iwapo watafanya makosa yoyote mapya au kufanya kitendo chochote cha uchokozi dhidi ya nchi hii.
15:06 , 2025 Sep 21
Nchi 70 zashiriki Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani ya Libya mjini Benghazi

Nchi 70 zashiriki Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani ya Libya mjini Benghazi

IQNA – Mji wa Benghazi ulioko kaskazini mashariki mwa Libya ni mwenyeji wa toleo la 13 la mashindano ya kimataifa ya Qur’ani ya nchi hiyo.
14:57 , 2025 Sep 21
Fainali za Mashindano ya 6 ya Qur’ani kwa Maulamaa wa Afrika kufanyika wiki ijayo

Fainali za Mashindano ya 6 ya Qur’ani kwa Maulamaa wa Afrika kufanyika wiki ijayo

IQNA – Taasisi ya Mohammed VI ya Maulamaa wa Afrika inatarajiwa kuandaa fainali za mashindano yake ya sita ya kuhifadhi, kusoma, na tajwidi ya Qur’ani Tukufu kuanzia tarehe 26 hadi 28 Septemba.
14:50 , 2025 Sep 21
Waislamu Texas walengwa katika tukio la Chuki dhidi ya Uislamu

Waislamu Texas walengwa katika tukio la Chuki dhidi ya Uislamu

IQNA – Polisi wa McKinney, Texas, walifika wiki hii katika eneo la tukio la uhalifu lililotokea katika kituo cha elimu ya Kiislamu ambacho kikundi cha kutetea Waislamu kimekitaja kuwa ni unyanyasaji wa chuki dhidi ya Uislamu.
18:46 , 2025 Sep 20
Khatibu wa Al-Aqsa akamatwa baada ya hotuba kali dhidi ya Ukimya wa Waarabu na Waislamu

Khatibu wa Al-Aqsa akamatwa baada ya hotuba kali dhidi ya Ukimya wa Waarabu na Waislamu

IQNA – Polisi wa utawala wa Israel wamemkamata Sheikh Mohammad Sarandah, khatibu wa Msikiti wa Al-Aqsa, muda mfupi baada ya kutoa hotuba ya Ijumaa, kwa mujibu wa Waqfu wa Kiislamu wa al-Quds.
18:41 , 2025 Sep 20
‘Tuzingatie Yanayotuunganisha’: Mwanaharakati wa Malaysia Awasihi Waislamu

‘Tuzingatie Yanayotuunganisha’: Mwanaharakati wa Malaysia Awasihi Waislamu

IQNA – Mwanaharakati kutoka Malaysia amesema kuwa mataifa ya Kiislamu yanapaswa kuangazia mambo yanayowafungamanisha na kushikamana kukabiliana na changamoto za pamoja.
18:28 , 2025 Sep 20
6