IQNA

Muiraqi aliyevunjia heshima Qur'ani atimuliwa Norway na kurejeshwa Uswidi

Muiraqi aliyevunjia heshima Qur'ani atimuliwa Norway na kurejeshwa Uswidi

IQNA - Norway imekataa ombi la hifadhi la Salwan Momika, mkimbizi kutoka Iraq ambaye aliivunjia heshima Qur'ani Tukufu mara kadhaa nchini Uswidi katika miezi iliyopita. Ripoti za awali zilieleza kuwa Momika alifariki akiwa Norway lakini imebainika kuwa ripoti hizo hazikuwa sahihi.
16:24 , 2024 Apr 13
Qari maarufu wa Bangladesh akisoma Surah Al-Infitar kwenye kipindi cha TV cha Mahfel (+Video)

Qari maarufu wa Bangladesh akisoma Surah Al-Infitar kwenye kipindi cha TV cha Mahfel (+Video)

IQNA – Sheikh-ul-Qurra (mbora wa maqari) wa Bangladesh ni miongoni mwa maqari ambao qiraa yake imevutia wengi katika cha Televisheni cha Mahfel.
16:09 , 2024 Apr 13
Mfanyaziara Mnigeria  atoa zawadi ya nakala Msahafu wa Hati ya Maghribi kwa Imam Ridha AS

Mfanyaziara Mnigeria atoa zawadi ya nakala Msahafu wa Hati ya Maghribi kwa Imam Ridha AS

IQNA - Hujaji wa Nigeria na mwanafunzi amekabidhi nakala iliyoandikwa kwa mkono ya Qur'ani Tukufu katika hati ya Maghribi kwa Maktaba Kuu ya Haram ya Imam Ridha (AS).
14:46 , 2024 Apr 13
Viongozi wa Ireland na Uhispania watangaza tayari kuitambua Palestina

Viongozi wa Ireland na Uhispania watangaza tayari kuitambua Palestina

IQNA-Viongozi wa Ireland na Uhispania wametangaza kuwa nchi kadhaa za bara la Ulaya zinakaribia kutambua rasmi nchi huru ya Palestina.
10:36 , 2024 Apr 13
Hujuma dhidi ya kituo cha Kiislamu cha Chuo Kikuu cha Rutgers Marekani

Hujuma dhidi ya kituo cha Kiislamu cha Chuo Kikuu cha Rutgers Marekani

IQNA-Wanafunzi wa aislamu katika Chuo Kikuu cha Rutgers nchini Marekani wameelezea wasiwasi juu ya usalama wao baada ya kituo chao cha Kiisilamu kuharibiwa wakati wa siku kuu ya Idul Fitr.
20:40 , 2024 Apr 12
Msikiti Ugiriki wafunguliwa kwa Sala ya Idul Fitr baada ya karne

Msikiti Ugiriki wafunguliwa kwa Sala ya Idul Fitr baada ya karne

IQNA - Sala ya Idul Fitr iliswaliwa na zaidi ya waumini 100 wa Kiislamu katika Msikiti wa Yeni huko Thessaloniki, kaskazini mwa Ugiriki, siku ya Jumatano.
11:40 , 2024 Apr 12
Rais wa Iran amtumia rambirambi kiongozi wa Hamas baada ya Israel kuua shahidi watoto na wajukuu wake

Rais wa Iran amtumia rambirambi kiongozi wa Hamas baada ya Israel kuua shahidi watoto na wajukuu wake

IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani mauaji yaliyofanywa na jeshi la utawala katili wa Israel dhidi ya wanafamilia wa Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) katika Ukanda wa Gaza.
11:32 , 2024 Apr 12
Idadi ya mashahidi huko Gaza imepindukia 33,500, Israel yaendeleza mauaji ya kimbari

Idadi ya mashahidi huko Gaza imepindukia 33,500, Israel yaendeleza mauaji ya kimbari

IQNA-Kwa mujibu wa Wizara ya Afya ya Palestina, idadi ya mashahidi wa mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel huko Gaza imefikia 33,545 huku utawala huo katili ukiendeleza vita vya mauaji ya kimbari dhidi ya eneo hilo lililozingirwa.
11:25 , 2024 Apr 12
Sala za Idul Fitr yavutia umati mkubwa huko Karbala, Iraq

Sala za Idul Fitr yavutia umati mkubwa huko Karbala, Iraq

IQNA - Sala ya Idul Fitr katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq ilishuhudia mahudhurio makubwa ya waumini na wafanyaziyara siku ya Jumatano.
11:05 , 2024 Apr 11
Rais wa Iran amwambia Rais wa Uturuki: Kukata uhusiano wa kiuchumi na kisiasa kutaipigisha magoti Israel

Rais wa Iran amwambia Rais wa Uturuki: Kukata uhusiano wa kiuchumi na kisiasa kutaipigisha magoti Israel

IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kukatwa uhusiano wa kiuchumi na kisiasa wa nchi za Waislamu na utawala wa Kizayuni ndiyo silaha bora ya kukomesha jinai za Wazayuni huko Palestina.
10:41 , 2024 Apr 11
Kauli ya kiongozi wa Hamas baada ya Israel kuwaua shahidi watoto na wajukuu wake

Kauli ya kiongozi wa Hamas baada ya Israel kuwaua shahidi watoto na wajukuu wake

IQNA-Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina, Hamas, amethibitisha habari ya kuuawa shahidi watoto na wajukuu zake katika shambulio la kinyama la utawala wa Kizayuni na akasema: "kwa machungu haya na kwa damu hii tunajenga matumaini, mustakbali na uhuru wa watu wetu, piganio letu na taifa letu".
10:33 , 2024 Apr 11
Qari wa Iran ashinda Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Televisheni ya Al-Kawthar

Qari wa Iran ashinda Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Televisheni ya Al-Kawthar

IQNA – Mashindano ya 17 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Kanali ya Televisheni ya Al-Kawthar yamemalizika tamati, huku qari wa Iran Ustadh Mostafa Hemmat Qassemi akishinda tuzo ya juu zaidi.
10:27 , 2024 Apr 11
Ayatullah Khamenei aongoza Sala ya Idul-Fitr mjini Tehran

Ayatullah Khamenei aongoza Sala ya Idul-Fitr mjini Tehran

IQNA - Makumi ya maelfu ya waumini leo Jumatano asubuhi walikusanyika kwenye Uwanja  wa Swala wa Mosalla Imam Khomeini katika mji mkuu wa Iran, Tehran, kwa ajili ya  Sala ya Idul Fitr inayoashiria kumalizika mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
20:35 , 2024 Apr 10
Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 30

Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 30

IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 30 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
18:57 , 2024 Apr 10
Ayatullah Khamenei: Suala la Gaza haliwezi kufumbiwa macho, ni kadhia kuu ya Ulimwengu wa Kiislamu

Ayatullah Khamenei: Suala la Gaza haliwezi kufumbiwa macho, ni kadhia kuu ya Ulimwengu wa Kiislamu

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Ghaza ni suala ambalo haliwezi kufumbiwa macho kwani ndiyo kadhia kuu ya Ulimwengu wa Kiislamu hivi sasa, hivyo kila mmoja wetu anapaswa kutekeleza vizuri majukumu yake kuhusu Ukanda wa Ghaza.
18:50 , 2024 Apr 10
6