iqna

IQNA

rwanda
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya kimataifa ya Qur'ani yanafanyika nchini Rwanda leo Jumapili.
Habari ID: 3478709    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/21

Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu /28
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Harun, ambaye ni mhubiri wa Kiislamu kutoka Rwanda, alitumia miaka saba kutafsiri Qur'ani Tukufu katika lugha rasmi ya nchi yake.
Habari ID: 3477430    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/13

TEHRAN (IQNA)-Binti Aisha Nikuze amekuwa msichana wa kwanza kufika katika fainali ya Mashindano ya 7 Kimataifa ya Qur'ani ya Rwanda yaliyofanyika mwezi uliopita.
Habari ID: 3471588    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/09

TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya 7 Kimataifa ya Kuhifadhi Qur'ani ya Rwanda yamemalizika Jumamosi ambapo mshindi alikuwa Maazu Ibrahim Muadh wa Niger ambaye aliwashinda washiriki 42 kutoka nchi 17 za Afrika.
Habari ID: 3471572    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/25

Vijana wasomaji wa Qur'ani kutoka nchi kadhaa za Afrika Mashariki wamekutana Kigali Rwanda na kubainisha wazi kuwa wanapinga idiolojia ya mauaji ya kimbari.
Habari ID: 3470458    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/17

Mashindano ya Qur’ani yamefanyika nchini Rwanda chini ya himya ya Jumuiya ya Waislamu nchini humo.
Habari ID: 1455972    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/30