IQNA

Umoja wa Waislamu waimarika baada ya operesheni ya Iran dhidi ya Israel

Umoja wa Waislamu waimarika baada ya operesheni ya Iran dhidi ya Israel

IQNA - Mshikamano wa Waislamu katika ulimwengu wa Kiislamu umefikia kiwango kisicho na kifani kufuatia Operesheni ya Ahadi ya Kweli III dhidi ya utawala wa Israel, mwanazuoni mmoja anasema.
05:38 , 2025 Jun 25
Wairani 606 wameawa shahidi katika Siku 12 za Uvamizi wa Israel

Wairani 606 wameawa shahidi katika Siku 12 za Uvamizi wa Israel

IQNA - Waziri wa Afya wa Iran Daktari Mohammad Reza Zafarghandi amesema idadi ya waliouawa katika hujuma ya utawala wa Israel dhidi ya Iran ni 606.
00:15 , 2025 Jun 25
Iran imeulazimu utawala wa Kizayuni kukubali kushindwa

Iran imeulazimu utawala wa Kizayuni kukubali kushindwa

IQNA-Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran limetoa taarifa Jumanne na kuthibitisha kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umelazimika kukubali mapatano ya usitishaji vita.
23:58 , 2025 Jun 24
Kauli ya mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran baada ya hujuma ya Marekani

Kauli ya mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran baada ya hujuma ya Marekani

IQNA-Mohammad Eslami Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesema kuwa, hatuna imani tena na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) na ukaguzi wake, kwa sababu zana zote hizo zimetumika katika kufanya ujasusi kwa maslahi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
19:48 , 2025 Jun 22
Taarifa ya Iran kuhusu uvamizi wa kijeshi wa Marekani dhidi ya vituo vya amani vya nyuklia vya Iran

Taarifa ya Iran kuhusu uvamizi wa kijeshi wa Marekani dhidi ya vituo vya amani vya nyuklia vya Iran

IQNA-Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran imetoa taarifa ikilaani hujuma na uvamizi wa kijeshi wa Marekani dhidi ya vituo vya nyuklia vya taifa hili vinavyofanya shughuli zake kwa malengo ya amani.
19:40 , 2025 Jun 22
18